WAZIRI PROF. NDALICHAKO KUWALIPIA ADA WATOTO WATAKAO FAULU KWA DIVISION ONE
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia ambaye pia ni Mbunge wa Kasulu Mjini, Prof.Joyce Ndalichako amesema Watoto wa Kike wanaosoma katika Shule za Serikali (katika Jimbo la Kasulu Mjini) watakaopata Daraja la Kwanza katika kipindi cha miaka mitano ya Ubunge wake, wote atakuwa anawalipia ada ya kidato cha tano na sita. “Kazi kwenu Watoto wa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed